Swahili articles

3 Results / Page 1 of 1

Background

Swahili articles

RUTO ANAVYOMDHIBITI RIGATHI KWA BUSARA

Siku zote ati palipo na wazee hapaharibiki jambo, wahenguzi hawakuambulia patupu. RAIS William Ruto hajakuwa mwepesi kumruhusu Naibu wake Rigathi Gachagua kuongoza uzinduzi wa miradi mikubwa ya miundomsingi tangu alipoingia mamlakani Septemba 13, 2022 hali ambayo imeibua maswali mengi sana miongoni mwa wakenya. Sababu ni kwamba hali hii ni tofauti kabisa muhula wa kwanza wa utawala wa Rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Nyakati hizo, Dkt Ruto akiwa Naibu Rais, sawa na […]

todayJune 20, 2023 84 1

News

MAKALI NDANI YA MSAWADA WA FEDHA MWAKA WA 2023 NA MAJIMBO KIBAYASI

WAMILIKI wa biashara ndogo kama vile mama mboga na wahudumu wa bodaboda ni miongoni mwa Wakenya watakaofinywa na makali ya ushuru uliopendekezwa na bajeti ya kwanza ya Rais William Ruto. Iwapo Mswada wa Fedha wa 2023 utapitishwa na Bunge, wamiliki wa biashara ndogo ambao wamekuwa wakiuza bidhaa za angalau Sh1,400 kwa siku watalazimika kulipa asilimia tatu ya mauzo hayo. Ikiwa mfanyabiashara anatoa huduma au bidhaa za Sh1,400 kila siku inamaanisha […]

todayJune 3, 2023 108 1

Swahili articles

WOSIA KWA WANANDOA by Ferdinand Majimbo

NDOA ni kuvumiliana na bila uvumilivu ndoa haiwezi kufaulu. Kuvumilia kunamaanisha kukubali hali mbaya na ngumu ambazo hazifurahishi mtu. Hasa, hali hizi huwa ni ngumu na nzito sana zinazoumiza mtu. Ni hali ambazo mtu huwa hakuwa amezoea kabla ya kuingia katika ndoa au kutarajia kupata katika ndoa. Baadhi ya shida huwa zinasababishwa na mchumba wake au kuzuka kutokana na hali ambazo haziepukikikamwe. Mtu pia anaweza kusababisha hali ngumu katika ndoa […]

todayMay 30, 2023 257 1

0%